Ijumaa, 3 Agosti 2018

UPAUAJI

UPAUJI ni kazi ya mwisho katika ujenzi wa nyumba yako jaribu kua makini na kazi hii kwani ndio mwonekano halisi ya nyumba yako


tunashugulika na upauaji wa nyumba tunakuhakikishia ubora wanyumba yako kwani kazi yetu ndio dhamana yetu.

Tunato ushauri na kumsikiliza mteja kulingana na mtazamo wake husiana na nyumba aliojenga ili kufikia malengo.

Tunachora ramani mbalimbali za nyumba paomoja na kufanya mahesabu ya husianayo na uujenzi wa nyumba

 TUNAO MAFUNDI WENYE KUJENGA KWA GARAMA NAFUU ENDAPO UTAKUA NA VITU VYOTE KAMA VILE
                                 Tofari
                                 Kokoto
                                 Mchanga
                                 Misumari
                                 Mbao
                                 Saruji



KAZI YA UPAUAJI hufanyika mara baada ya ujenzi kukamilika
TUNAO MAFUNDI WENYE kupaua hata kama hauna ramani ya PAA HUSIKA




Habari njema kwa wakazi washinyanga mwanza mara kigoma bukoba na kanda ya ziwa kwa ujumla,tunachora ramani mbalimbali za nyumba za kila aina kulingana na mahitaji ya mteja,gharama ni nafuu sana.
MFANO.



We offer;
1. Site plan
2. Floor plan
3. Roof plan
4. Building cross-section
5. Elevations
6. Sewage system
7.structural design and detailing
8 Tunaccora ramani iliokamilika kuanzia msingi hadi upauaji kwa bei nafuu sana

Pia tunatoa na huduma za kusimamia site (site supervision).

Ushauri ni bure kabisa, kwa mawasiliano piga 0683462316
Karibuni sana 
Sote kwapamoja tunaweza
 Ahsante.

www.Jakogwasi-tatech.com 
 jakogwasi@gmail.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

MATOKEO YA GORIBE KITADO CHA PILI SHULE YA SEKONDARY YAGORIBE 2021 NI MBOVU KUPINDUKIA

HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI SHULE YA UPILI AU SECONDARI YA GORIBE ILIOKO WILAYANI RORYA https://matokeo.necta.go.tz/results2021/ftn...