NYUMBA bora hutokana na ubunifu wa mchoraji na mjenzi atakae iweka ramani hiyo katika uhalisia wake kulingana na ustadi wake katika kuelewa alama na kufumbua malengo ya MCHORAJI wa ramani husika
RAMANI BORA mchoraji anaweza kuchora ramani nzuri lakini mjenzi akajenga nyumba tofati na maelekezo ya mchoraji wa ramani husika.
NYUMBA nzuri na bora ni ile iliojengwa kwa kuwakilisha maono na malengo ya mchoraji wa RAMANI. Pia nyumba lazima ikidhi viwango halisi.
UJENZI WA KUTA ujenzi wa boma la nje la nyumba ni utalamu muhimu katika uimara wa nyumba.
NYUMBA nyingi hupasuka kwa sababu mbalimbali ikiwemo makosa wanayoyafanya mafundi wasio waaminifu kwa kupunja RATIO ya sementi na mchanga ilikumwibia bosi ambae ni mtanzania aliejinyima na kulala nja ili afanikishe malengo yake ya kua na nyumba imara na BORA.Badala yake hujikuta akiangukia mkononi mwa mafundi wasio waminifu na kumfanya kutumia garama kubwa na kujikuta na nyumba isio imar.
SABABU NYINGINE ni pale ambapo mchora ramani wa nyumba husika ka huchora ramani ya nyumba husika pasipoa kujali hali halisi ya kijiografia ya eneo linaloenda kujengwa nyumba.
Ijumaa, 22 Desemba 2017
JENGA NYUMBA YAKO
Ujenzi wanyumba huwagarimu watu wengi kiasi kikubwa cha pesa na kuwafanya watu wenyekipato cha chini kukata tamaa ya kujenga kutokana na garama wanazoziona zikitumika kujenga nyumba kwa wale wenye fedha na hata kuona matajiri wengi wakikwama na kufikia wakati wakichukua mda mrefu wakijiandaa kumalizia majengo yao
TATECH wajenzi bora wameamua kuifanya nchi ya tanzania kua na mpangilio ulio bora kwa kujenga majengo bora kwa garama ndogo bila kuhofia ujenzi wa majengo kama ilivyokua awali.
TATECH ni umoja wa mafundi mbalimbali wa majengo na wenye ujuzi katika shughuli nzima ya UJENZI WA MAJUMBA.
TATECH hujihusisha na ujengaji wa majumba kwa garama ndogo kuanzia kwenye msingi wa nyumba FOUNDATION PLAN hadi kumaliza nyumba bila kumwacha mteja akiwa na mawazo mengi ya kutafuta hela ya kufanyia FINISHING ya nyumba yake
TATECH wajenzi bora wameamua kuifanya nchi ya tanzania kua na mpangilio ulio bora kwa kujenga majengo bora kwa garama ndogo bila kuhofia ujenzi wa majengo kama ilivyokua awali.
TATECH ni umoja wa mafundi mbalimbali wa majengo na wenye ujuzi katika shughuli nzima ya UJENZI WA MAJUMBA.
TATECH hujihusisha na ujengaji wa majumba kwa garama ndogo kuanzia kwenye msingi wa nyumba FOUNDATION PLAN hadi kumaliza nyumba bila kumwacha mteja akiwa na mawazo mengi ya kutafuta hela ya kufanyia FINISHING ya nyumba yake
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
MATOKEO YA GORIBE KITADO CHA PILI SHULE YA SEKONDARY YAGORIBE 2021 NI MBOVU KUPINDUKIA
HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI SHULE YA UPILI AU SECONDARI YA GORIBE ILIOKO WILAYANI RORYA https://matokeo.necta.go.tz/results2021/ftn...
-
UNAPOTAKA KUJENGA H AKIKISHA UBORA WA NYUMBA YAKO IWE ISIOISHA THAMANI .KWA KUCHAGUA RAMANI BORA. UBORA WA NYUMBA HUANZIA KWENYE RAMANI YAK...
-
UPAUJI ni kazi ya mwisho katika ujenzi wa nyumba yako jaribu kua makini na kazi hii kwani ndio mwonekano halisi ya nyumba yako jakogwasi...
-
CHAGUA RAMANI UIPENDAYO. www.Jakogwasi-tatech.com jakogwasi@gmail.com Chagua ramani ya nyumba uipendayo kisha uwasiliane nam...