Ujenzi wanyumba huwagarimu watu wengi kiasi kikubwa cha pesa na kuwafanya watu wenyekipato cha chini kukata tamaa ya kujenga kutokana na garama wanazoziona zikitumika kujenga nyumba kwa wale wenye fedha na hata kuona matajiri wengi wakikwama na kufikia wakati wakichukua mda mrefu wakijiandaa kumalizia majengo yao
TATECH wajenzi bora wameamua kuifanya nchi ya tanzania kua na mpangilio ulio bora kwa kujenga majengo bora kwa garama ndogo bila kuhofia ujenzi wa majengo kama ilivyokua awali.
TATECH ni umoja wa mafundi mbalimbali wa majengo na wenye ujuzi katika shughuli nzima ya UJENZI WA MAJUMBA.
TATECH hujihusisha na ujengaji wa majumba kwa garama ndogo kuanzia kwenye msingi wa nyumba FOUNDATION PLAN hadi kumaliza nyumba bila kumwacha mteja akiwa na mawazo mengi ya kutafuta hela ya kufanyia FINISHING ya nyumba yake
Ijumaa, 22 Desemba 2017
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
MATOKEO YA GORIBE KITADO CHA PILI SHULE YA SEKONDARY YAGORIBE 2021 NI MBOVU KUPINDUKIA
HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI SHULE YA UPILI AU SECONDARI YA GORIBE ILIOKO WILAYANI RORYA https://matokeo.necta.go.tz/results2021/ftn...
-
UNAPOTAKA KUJENGA H AKIKISHA UBORA WA NYUMBA YAKO IWE ISIOISHA THAMANI .KWA KUCHAGUA RAMANI BORA. UBORA WA NYUMBA HUANZIA KWENYE RAMANI YAK...
-
UPAUJI ni kazi ya mwisho katika ujenzi wa nyumba yako jaribu kua makini na kazi hii kwani ndio mwonekano halisi ya nyumba yako jakogwasi...
-
CHAGUA RAMANI UIPENDAYO. www.Jakogwasi-tatech.com jakogwasi@gmail.com Chagua ramani ya nyumba uipendayo kisha uwasiliane nam...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni